Bukobawadau

EDGAR NICAS & ALICE WEDDING RECEPTION !!

Oooh ! Yaah! Tunashuhudia bonge la harusi  ya Bwana Edga Nicas na Bi Alice David Mwinuka ,ndoa yao takatifu iliyofungwa katika kanisa la ECG, Columbus,Ohio na kufuatiwa na sherehe kubwa pande za Fort Worth,Texas juma lililopita.
Tabasamu pana kwa maharusi hawa mara baada ya kufunga pingu za maisha.
 Endelea kuwa nasi mpaka mwisho kwa mtiririko wa matukio ya picha.
 Mr Azizi Kichwabuta with new Wed Couple.
Naam hivi ndivyo watu walivyokuwa ng'ari ng'ari, full 'Kumyesa'!
 Wakuitwa @Easyhomie pichani kushoto  akiwa sambamba na maharusi wetu
 Hongera sana Edgar na Alice
 Love birds..!
Hakika Mwanula ndugu..!
Kivutiwa kikubwa ni namna watu walivyopendeza ukumbini
Forever & Ever ......
Youngest Couple...
Ni muendelezo wa matukio ya picha hakika watu walipendeza mno.
This photo is everything Congrats to you.
Furaha ikitawala ukumbini..!
Pretty Smile
Naaam!
Stuning brige
Muendelezo wa Matukio ya picha
Next Post Previous Post
Bukobawadau