Bukobawadau

#KANAZI HALI YA SIMANZI YATAWALA MAZISHI YA MPENDWA MONICA BARONGO #BUKOBA


 
 Hali ya simanzi yatawala katika mazishi ya Mke wa Godwini Barongo,Mpendwa wetu Monica Barongo yaliyofanyika jana March 16,2020 Kijijini Kanazi #Bukoba na kuhudhuriwa na umati wa waombolezaji
Pichani ni Dada zake Godwin Barongo,kutoka kushoto ni Placidia Barongo,Jane Barongo,Jovitha Barongo na Johanitha Barongo #MazishiyaMonicaBarongo #Kanazi #Bukoba
Ndugu Divo Rugaibula rafiki wa karibu wa familia
Wanakwaya wakiwajibika mapema kabla ya Ibada ya Mazishi ya mpendwa wetu Monica Barongo
#MazishiyaMonicaBarongo mapema kabla ya Ibada mzee machume akiwa ameungana na jamaa wa familia yake katika mazishi haya
Dada Johanitha Barongo akisoma wasifu wa Marehemu Monica Barongo
Wasifu wa Marehemu ukisomwa na Johanitha Barongo...
Wanaonekana katika hali ya Simanzi baadhi ya marafiki wa Mpendwa wetu Monica Barongo,Pole Sana Dada Vick Rwiza
Victar ambaye ni Kaka wa Marehemu Monica Barongo akitoa neno la shukrani kwa upande wa familia yake...
Huzuni wako ni huzuni wa Mungu ....tunaamini Bwana yupo atawapigania katika kipindi hiki kigumu poleni sana wafiwa...
Julius Rugemalila pichani rafiki mkubwa wa ndugu Godwin Barongo akiwa bega kwa bega katika msiba huu mkubwa .....
Taswira mbalimbali katika picha #MazishiyaMonicaBarongo
Familia ya Baruti ananekana Dada Melissa Baruti na Harlod Baruti marafiki wa karibu na familia ya Godwin Barongongo
Salaam za rambirambi kutoka ofisi ya Bwana Godwin Barongo zikitolewa..
Marehemu Monica Barongo pichani enzi za uhai wake, tunamuombea pumziko la Amani..
Mwakilishi Wadau Group kutoka jijini Dar es Salaam akitoa salaam za rambiramba
Bwana Novatus Nkwama akitoa salaam za rambirambi.....
Ndugu Novatus Rwechungura Nkwama akikabidhi rambirambi yake.
#MazishiyaMonicaBarongo
Mama Mzazi wa Marehemu Monica Barongo akitokwa na machozi wakati wa misa ya kumuombea
Mama Mzazi wa Marehemu Monica Barongo akitokwa na machozi wakati wa misa ya kumuombea mwanae...
Padre akinyunyuzia maji ya baraka kwenye jeneza lenye mwili wa mpendwa wetu Monica Barongo
Tukielekea eneo la Ibada msalaba ukiwa umebebwa na Voctor ,Kaka wa Marehemu Monica Barongo #MazishiyaMonicaBarongo
Jeneza lenye mwili wa mpendwa wetu Monica Barongo likiwa limebebwa tayari kwa ajili ya Misa ya Mazishi
Jeneza likiwa limebebwa na marafiki na jamaa wa karibu kabisa na Bwana Godwin Barongo...alyfiwa na mke wake mpendwa Monica Barongo tunamuombea kwa mwenyezi Mungu pumziko jema.
Muendelezo wa matukio ya picha katika Ibada na Mazishi ya Marehemu Monica Barongo
Umati wa waombolezaji wakishiriki #IbadayaMazishiyaMonica ..
Waombolezaji wakiendelea kushiriki Ibada hiyo iliyofanyika jana Kijijini Kanazi Bukoba.
Wanakwaya wa BCC wakiwajibika kwa nyimbo za kutoa faraja kwenye msiba....
Ndugu Rahim Kabyemela na Harlod Baruti katika mazishi ya Mpendwa wetu Monica Barongo...
Joachim Urio Mjomba wa Marehemu Monica Barongo
Poleni sana wafiwa Mungu awatie nguvu....

kutoka kushoto ni Placidia Barongo,Jane Barongo,Jovitha Barongo na Johanitha Barongo #MazishiyaMonicaBarongo #Kanazi #Bukoba
Alex na Bi Salome pichani
Ndugu Divo Rugaibula mtu wa karibu na familia ya Barongo akiendelea kushiriki Ibada ya Mazishi ya mpendwa wetu Monica Rwechungura
Katika simanzi anaoneka Dada Jovitha Barongo....
Mama Kayunga pichani akiwa ameungana na waombolezaji wengine
Wanakwaya wakiendelea kuwajibika....
Hawa ni baadhi wa marafiki wa karibu wa familia, Mama Totos,Bi Murungi na Eunice Nyamwiza..#MazishiyaMonicaBarongo
#MazishiyaMonicaBarongo
 Mzee Benedicto Barongo Msemaji wa familia akitoa neno la shukrani .
 Pata muendelezo wa matukio ya kutoka heshima za mwisho
 Heshima za mwisho kwa mpendwa wetu Monica Barongo
Tutakukumbuka daima milele, daima milele tutakukumbuka Monica Monica
Uncle Julious na Divo wakati wa kutoa heshima za mwisho.


 Wanafamilia wakitoa heshima zao za mwisho


Last respect ....
hakika ni huzuni mkubwa kwa wanafamilia na wote waliomfahamu Marehemu Monica
 Kaka Godwin na Kijana wake Junior ndiyo wamempoteza mpendwa wao hivyo...!
 Vilio na machozo vikitawaha msibani hapa....
 Jeneza likifungwa vyema na Mme wa Marehemu Monica Barongo
#MazishiyaMonicaBarongo
Mapadre wakiwa eneo la kaburi #MazishiyaMonicaBarongo

Jeneza lenye mwili wa Mpendwa wetu Monica Barongolikiingizwa kaburini, kwa mashine na kuhitimisha safari yake hapa duniani
Tutakukumbuka daima milele, daima milele Monica....

 Jeneza tayari limeshushwa kaburini na kuhitimisha safari yake hapa dunianitutakukumbuka daima milele, daima milele Monica
 Zoezi la kuweka udongo kwenyw kaburi la Mpendwa Monica Barngo
 Mzee Rutaraka akiweka Udongo kwenye kaburi...
Mapadre wakiongoza utaratibu wa kuweka shada la maua kwenye kaburi la mpendwa wetu Monica Barongo
Godwin Junior mtoto pekee wa kuzaliwa na Mpendwa wetu Monica Barongo akiweka shaka la maua kwenye kaburi la Mama yake.
Ni huzuni mkubwa kwa ndugu yetu,rafiki yetu Godwin Barongo kwa kumpoteza mwenzake
Jovitha akiweka shada la maua
Kaka yake ya mpendwa Marehemu Monica Barongo akiweka shada la maua.....
Wajukuu wa familia ya Marehemu Kapt.Barongo wakiweka maua kwa pamoja kwenye kaburi....
Mzee Machume na mke wake wakiweka shada la maua
 Utaratibu wa kuweka mashada ya maua ukiendela kwa kuzingatia makundi mbalimbali
 Mama Mzazi wa Marehemu Monica akiweka Shada kwenye kaburi la mwanae...
 Mama Monica akiweka shada la maua..
  mashada likiendelea kwa kuzingatia makundi mbalimbali
 Utaratibi wa kuweka  mashada ukiendelea kwa kuzingatia makundi mbalimbali
 Mwakilishi wa Ofisi anayofanya kazi Kaka Godwin Barongo akiweka shada la maua


 Zoezi la kuweka mashada likiendelea kwa kuzingatia makundi mbalimbali
 #MazishiyaMonicaBarongo #Kanazi #Bukoba
 Marafiki wa Marehemu pichani kwa upendo mkubwa kumuaga Mpendwa wao
 Muendelezo wa matukio ya picha kwa ajili ya kumbukumbu Mazishi ya Monica Barongo...
 Victar na Shemeji yake Godwin
Kaka Godwin Barongo akiweka Mshua kwenye kaburi la mke wake mpendwa.
Marafiki wa familia katika picha ya pamoja kwa ajili ya kumbukumbu kwenye kaburi la mpendwa wetu Monica Barongo ...
Marafiki wafamilia wakibadilishana mawazo mara baada ya shughuli ya Maziko
Kaka Victar pichani....
Wakwe wa familia ya Marehemu Kapt.Barongo wakiteta jambo....
Dada Jamila Isack pichani kulia katika utambulisho unaotolewa na Omulangila Deo Rugaibula
Dada zake na Godwin Barongo mara baada ya mazishi ya wifi yao.....Monica Barongo apumzike kwa amani..
Dada Vick akiteta jamb na waombolezaji wengine mara baada ya shughuli ya mazishi.....
 Hivi ndivyo ilivyokua safari ya Mwisho ya maisha ya Mpendwa wetu Monica Barongo...Mwenyezi Mungu ampe pumziko la Milee..!



Next Post Previous Post
Bukobawadau