BALOZI KAMALA AONGOZA MAHAFALI YA PROGRAMU YA MAFUNZO MAALUM CHUO CHA UFUNDI GERA
Baadhi ya wahitimu katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi na mdhamini wa mafunzo hayo Balozi Dr.Kamala.
Balozi Dr. Kamala akikabidhi Vyeti wa Wahitimu wa programu maalum ya mafunzo ya Miezi mitatu yenye lengo la kusaidia vijana kujikwamua kiuchumi
Balozi Dr.Kamala na Kaimu Mkuu wa chuo cha maendeleo Gera
INAENDELEA....