Bukobawadau

UMATI WA WAOMBOLEZAJI WASHIRIKI MAZISHI YA MPENDWA MA GRENSIA ENOCK KAMUZORA KIJIJINI KIGARAMA KANYIGO.

Tunampumzisha Mama yetu Ma Grensia Enock Kamuzora (1946-2021)  tuungane kumuombea pumziko la Amani na Mwenyezi Mungu awape faraja wanafamilia ya mpendwa wetu pamoja na Mzee wetu Enock Kamuzora.  #NendaSalamaBibi,tangulia Mama, Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza, Imani umeilinda

 Muonekano wa Jeneza lenye mwili wa mpendwa wetu Ma Grensia Enock Kamuzora tuliyempumzisha kwenye makazi yake ya Milele Siku Alhamis Aug 26,2021 Kijijini Kigarama Kanyigo
Sehemu ya Waombolezaji waliohudhuria Mazishi hayo.

Pata mtiririko mzima wamatukio ya picha Mazishi ya mpendwa wetu Ma Grensia Kokubelwa Kamuzora yaliyofanyika Tarehe 26/8/2021 Kijijini Kwake Kigarama Kanyigo
Misa ya kuombea Jeneza  lenye mwili wa  mpendwa wetu.

Ibada ya ndani ikiwa inaendelea....
 Mjukuu akiwa akiongo msafara wa Jeneza la Mpendwa  Ma Grensia Enock Kamuzora.
Endelea kufuatilia  ukurasa huu mpaka mwisho kwa matukio ya picha na Sehemu ya Video
Poleni sana kwa kumpoteza Mama yenu Mpendwa..
Sehemu ya wanafamilia na Wanaukoo wa Mzee Enock Kamuzora.
Bukobawadau tunatoa pole kwako Kaka na rafiki yetu Mujuni Kamuzora (pichani kushoto) na wanafamilia nyote
Padre wa Parokia ya Kanyigo akitoa neno  la faraja kwa wafiwa.
Umati mkubwa wa Waomboleza wakiendelea kushiriki  Ibada hiyo na matukio mbalimbali yaliyojiri katika mazishi ya Mpendwa Ma Grensia Enock Kamuzora
Dr Mchuruza akitoa salaam zarambirambi kwa niaba ya BIG.
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza akitoa pole  na kukabidhi rambirambi yake kwa Mzee Enock Kamuzora aliyeondokewa na Mke wake mpendwa Ma Grensia Enock Kamuzora
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi Jimbo Kuu la Bukoba, Dk Abelnego Mushahara akitoa neno la faraja kwafamilia ya Mzee Enock Kamuzora.
Din akitoa utambulisho kwa Wachungaji na Viongozi wa Kiroho walioweza kuhudhuria mazishi ya  Mpendwa Ma Grensia Enock Kamuzora
Utambulisho ukiwa unaendelea...

#SalaamZaRambirambi Askofu  wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza akitoa neno la faraja kwawafiwa.
Askofu
 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza akitoa neno la faraja kwawafiwa.
Mwakilishi wa Bunge la Afrika Mashariki akitoa salaam za rambirambi kwa familia ya Mzee Enock Kamuzora nawote waliofika na msiba huu mkubwa
Wanafamilia  wakifatilia kinachojiri kwa umakini mkubwa.
Muendelezo wamatukio Salaam za rambirambi zikiendelea kwa kuzingatia makundi mbalimbali
Mwakilishi wa KADEA akitoa Salaam za rambirambi
Muendelezo wa matukio ya picha,Salaam zarambirambi zikiendelea
Wasiliana nasi Kwa kazi nzuri yenye ufanisi na Covarage ya matukio ya Picha na Video kwa bei poa kabisa  +255754505043
Mzee Abdallah Majura akitoa utambulisho kwa wanafamilia ya Mzee Enock Kamuzora na Marafiki kwa kuzingatia makundi mbalimbali.
Walio simama ni Watoto wa kuzaliwa na Mzee Enock Kamuzora na Mpendwa wake Ma Grensia Kamuzora
Utambulisho ukiwa unaendelea...
Utambulisho kwa wanafamilia ukiendelea....
Utambulisho ukiendelea kwa makundi mbalimbali
Kutoka Maruku na Ndugu wa familia ya Mpendwa wetu Ma Grensia Kamuzora.
Muendelezo wa matukio ya picha muda mchache kabla ya Ibada ya Mazishi ya mpendwa wetu Ma Grensia Enock Kamuzora.
Hakika watu ni wengi kweli kweli....



Taswirambalimbali Mazishi waombolezaji wakifatilia kinachojiri msibani hapo.
Taswira kupitia picha kabla ya kuanza kwa Ibada ya  Mazishi ya mpendwa wetu Ma Grensia Enock Kamuzora.

Marafiki wafamilia ya Mzee Enock Kamuzora,Kutoka nchini Uganda wakitoa salaam za rambirambi
Salaam za rambirambi kutoka nchini Uganda.
Mtaalam Evanc Kamenge na Ndugu Hamidu Komungoma ni miongoni mwa waombolezaji walioshiriki Mazishi hayo.Kijijini Kigarama Kanyigo
Muendelezo wa matukio ya picha.
Muendelezo wamatukio ya picha Mazishi ya mpendwa wetu Mama yetu,Mlezi wetu,Muuguzi, Ma Grensia Kamuzora
Wasifu wa Marehemu Ma Grensia Enock Kamuzora ukisomwa...
Muendelezo wa matukio ya picha

Ni wakati wa kutoa heshima za mwisho
Padre akitoa heshima za mwisho kwa Mpendwa wetu Ma Grensia Enock Kamuzora.

Nenda Salama Mpendwa Ma Grensia Kamuzora

Zoezi la kutoa heshima za  mwisho likiendelea kwa watu wote

Askofu Bagonza.



Hakika hatunamaneno  sahihi ya kusema  katika majonzi yaliyotuzunguka,Kikubwa tunasema poleni sana nyote mlofikwa na msiba huu!!
Muonekano wa Jeneza lenye mwili wa Mama yetu Mpendwa Grensia Enock Kamuzora.

....

 
Ni Simanzi kubwa naVilio kwa Watoto wa Mama yetu mpendwa Grensia Kamuzora wakati wa kutoa heshima za mwishoPoleni Sana..
Mzee Enock Kamuzora akitoa heshima za mwisho kwa mke wake mpendwa...Jamani  pole sana mzww wetu mwenyezi mungu akutie nguvu
Pole Sana Mzee wetu Mzee Kamuzora, kwa msiba huu mkubwa. Mwenyezi Mungo akujalie nguvu na faraja kipindi hiki kigumu. Roho ya mama yetu irate faraja mahali pema mbinguni...
Hakika ni simanzi kubwa kwa wanafamilia kuondokewa na mpendwa wao
Poleni sana ndugu
Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu na ampuzishe kwa amani mpendwa wetu...
Utaratibu wa kutoa heshima za mwisho ukiendelea...
Mkwe wa familia hii akitoa heshima zake za mwisho.

 

Tunamuombea Mungu ampokee vyema Mama yetu  na aawatie faraja wanafamilia Wa Mzee Enock Kamuzora na ndugu wa karibu.

Muendelezo wamatukio ya picha ....
Mwanzo wa Ibada ya Mazishi ya Mpendwa wetu Mama Grensia Enock Kamuzora
Ibada ikiwa inaendelea...
Waombolezaji wakiendelea kushiriki Ibada ya mazishi ya Mpendwa wetu Ma Grensia Kamuzora.
Taswira Ibada ya Mazishi ikiendelea
Taswira Ibada ya Mazishi ikiendelea

Mchungaji akiongoza Ibada ya Mazishi hayo,Kijijini Kigarama Kanyigo
Mtiririko wa matukio ya picha kupitia Bukobawadau.
Muendelezo  wa matukio ya picha
Mchungaji akiendelea kutoa mahuburi  /Ibada ya Mazishi ya Mpendwa wety Grensia Enock Kamuzora
Muda mchache kabla ya kuelea eneo la Makaburi...
Jeneza tayari kuingizwa kaburini...
Safari ya mwisho ya Maisha ya Mpendwa wetu Ma Grensia Enock Kamuzora
Zoezi la kuweka Udongo likiongozwa na Viongozi wa kiroho.
Utaratibu wa kuweka  Udongo kwenye kaburi la Mpendwa Ma Grensia Enock Kamuzora unaendelea..
Mtawa akiweka Udongo kwenye kaburi
Jamani Mzee wetu pole Sana tunakuombea faraja na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu. 
Eneo la kaburi utaratibu wa kuweka Udongo ukiendelea..

 
Utaratibu wa kuweka Udongo kwenye kaburi ukiendelea.
Pole sana kwa msiba wa Mama yako Ndgu Mujuni Kamuzora,..May her soul rest well peacefully!!
Msalaba ukisimikwa kwenye Kaburi la Mpendwa wetu..
Mzee Enock kamuzora akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mke wake mpendwa...
Watoto wakike Abela,Akiza na Rehema wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Mama yao Mpendwa.

Watoto na Wakwe wa mpendwa wetu wakiwa tayari kuweka Shada la Maua.
Shada likiwekwa kwenye kaburi na Mkwe wafamilia,Wema Kamuzora ,Bwn na Bi Mujuni Kamuzora tumuombee Mamayetu Ma Grensia Kamuzora pumziko jema...
Namara ambaye ni Mjukuu  akiwa tayari kuweka shada kwenye kaburi la Bibi yake
Mzee Ezra Mtagwaba ambaye ni Kaka wa marehemu akiweka shada la maua
Utaratibu wa kuweka mashada ya maua ukiendelea...
Muendelezo wamatukio ya picha
Mzee Ally Majura akiweka shada la maua
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi Jimbo Kuu la Bukoba, Dk Abelnego Mushahara
Askofu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza akiweka shada la maua
Askofu Bagonza akiweka Shada la maua
Utaratibu wa kuweka Mashada ya maua katika kaburi la Mpendwa Gerensia Kamuzora ukiendelea.
Utaratibu wa kuweka Mashada ya maua katika kaburi la Mpendwa Gerensia Kamuzora ukiendelea
Zoezi lakuweka Mashada ya maua katika kaburi la Mpendwa Gerensia Kamuzora linaendelea
Mpendwa MamaYetu Ma Grensia Enock Kamuzora pichani enzi za uhai wake
Bukobawadau tunatoa pole kwa familia, ndugu na jamaa waliofikwa na msiba huu mkubwa,Mungu awape uvumilivu na awatie moyo ktk kipindi hiki kigumu .
Picha za hapa na pale Mara baada ya mazishi ya  mpendwa wetu
Picha ya pamoja  kwa ajili ya kumbukumbu
Picha kwa ajili ya kumbukumbu,Nenda Salama Ma Grensia Kamuzora.
Bukobawadau tunapenda kukufahamisha kuwa tunao uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu na kurasa zetu mbalimbali za Instagram na facebook pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote pale wasiliana nasi kupitia namba 0754 505043/ 0784 505045
Pia tuna Offer kabambe ya coverage ya Picha na video kwenye sherehe mbalimbali hii ni Huduma kutoka kwetu Siku zote @bukobawada

 









Next Post Previous Post
Bukobawadau