Bukobawadau

PICHA:IBADA YA MATANGA YA OMWAMI JOSEPH NSHUNJU WA KITOBO BUKOBA

Familia ya marehemu Omwami Nshunju wa Kitobo imeungana na ndugu jamaa na marafiki katika Ibada maalumu kuanua matanga Mwaka mmoja Kifo Cha Baba Yao Mzazi Omwami Joseph Nshunju wa Burumbwe Kitobo July 9,2022.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) ni miongoni mwa waalikwa walihudhuria Ibada ya matanga ya Mze wetu Omwami Joseph Njunju yaliyofanyika  Kijijini Burumbwe Kitobo July 9,2022.
Muendelezo wa matukio ya picha wakati Ibada ya Matanga ya Mzee wetu Omwami Joseph Nshunju ikiendelea..
Fuatiria mtiriko mzima wa matukio ya picha kutoka Kijijini Kitobo katika Ibada ya Matanga ya Omwami Joseph Nshunju.
Muonekano wa Kaburi la mpendwa wetu Omwami Joseph Nshunju
Watoto wa kuzaliwa na Mpendwa wetu Omwami Joseph Nshunju katika picha ya pamoja.
Watoto wa kuzaliwa na Mpendwa wetu Omwami Joseph Nshunju katika picha ya pamoja.
Akina Mama wajane wa Omwami Joseph Nshunju katika picha ya Pamoja
Wajukuu wa familia hii pichani
Watotp wakiwa Katika picha ya pamoja kwa ajili ya kumbukumbu

Endelea kuwa nasi kwa matukio zaidi ya picha.
Endelea kufuatilia mtoririko wa matukio ya picha

Padre akiombea kaburi la mpendwa wetu Omwami Joseph Nshunju,


Ms Mary Nshunju na mme wake katika picha ya kumbukumbu  katika kaburi la Mzazi wao Omwami Joseph Nshunju.
Pongezi kwa Mama kwa kumaliza Msiba.
Ms Mary Nshunju katika picha na Wajomba zake.
Taswira mbalimbali wakati matukio yanaendelea...
 Bukobawadau kwa Offer kabambe ya coverage ya Picha na Video kwenye shughuli mbalimbali 0754505043




 

Next Post Previous Post
Bukobawadau