Bukobawadau

KINANA AWAPONGEZA GLOBAL AGENCY FARM LIMITED KWA UZALISHAJI WA MBEGU BORA ZA KIMKAKATI

  Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu za mazao la Global Agency Farm Limited lililopo Buchurago Bugorora Wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera na kutoa pongezi kwa mwekezaji Global Agency Limited kwa kuzalisha mbegu bora za mazao
Ameyasema hayo akiwa katika Ziara yake mkoani Kagera Wilaya ya Missenyi katika Kijiji ya Buchurago kata Bugorora Sept 3,2022 alipotembelea shamba hilolenye hekari 21,000 Elfu linalohusika na kuzalisha mbegu za nahindi aina ya 5c627, Maharage Soya na Ngano.
Alisema Chama Cha mapinduzi kupitia serikali yake kinawaunga mkono uwekezaji wenye kuwakomboa Wanzania kwa kuwapunguzia gharama za Mbegu inayotokana na tatizo la uagizaji mbegu kutoka Nje ya nchi. 
Kwa upande wake wake Mkurugenzi wa Global Agency Limited Ndugu Fidelis Bashasha anasema endepo serikali itamuunga mkono atazalisha mbegu Bora za mahindi,maharage,soya ,na ngano na kupunguza athari za kuagiza mbegu zisizo na ubora kutoka nje ya nchi.
Alisema shamba Hilo kinauwezo wa kuzalisha mbengu haina Tofauti Tofauti Tani 17,000 na tangu aanze uwekezaji wa kilimo vijana zaidi ya 300 wanapata ajira Kipaumbele ikiwa Ni vijana waliyomaliza Vyuo vya kilimo na wamerudi kijijini bila ajira hao wanapata ajira ya kudumu.
Mwenyekiti wa Shamba la uzalishaji mbegu za mazao la Global Agency Farm Limited lililopo Buchurago Bugorora Wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana

Joshua Roche ambaye ni  Meneja wa Shamba la mbegu la Global Agency Farm Limited akitolea jambo ufafanuzi kwa Kanali Mstaafu Kinana wakati akishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika uandaaji wa mbegu bora za mahindi ukiwa utekelezaji wa Ilani ya Uchagu ya CCM.

Meneja wa Shamba la mbegu la Global Agency Farm Limited Joshua Roche,Mkurugenzi wa Shamba  la Global Agency Farm Fidelis Bashasha pichani kushoto na Mkuu wa Mkoa wa Kagera (RC), Albert Chalamila wakiongozana na  Kanali Mstaafu Kinana wakati akishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika uandaaji wa mbegu bora za mahindi ukiwa utekelezaji wa Ilani ya Uchagu ya CCM.
Muonekano wa Mashamba ya Mwekezaji lobal Agency Limited yaliyopo Kijiji cha Buchurago Kata Bugorora Wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera
Muonekano wa Mashamba ya Mwekezaji lobal Agency Limited yaliyopo Kijiji cha Buchurago Kata Bugorora Wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman  akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka , Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila,Mbunge wa jimbo la Nkenge Frolent Kyombo wakiwa wamepanda kwenye mtambo maalum unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman  akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka , Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila,Mbunge wa jimbo la Nkenge Frolent Kyombo wakiwa wamepanda kwenye mtambo maalum unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo
Kanali Mstaafu Abdulrahman akiteta jambo na Ndugu Aman Kajuna kata mtiifu wa chama cha mapinduzi
Winfrida Bashasha Mhasibu wa Shamba la uzalishaji mbegu za mazao la Global Agency Farm Limited lililopo Buchurago Bugorora Wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana
Adv.Kamala  akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana
Ndugu Rugaibula  akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana

Msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ukiendelea kukagua shamba la mbegu za mazao la Global Agency Farm Limited lililopo Buchurago Bugorora Wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.
Yahya Kateme na Mbunge wa Mbunge wa Biharamulo Eng Ezra Chiwele
Muendelezo wa matukio ya picha.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Katibu tawala Mkoa Kagera  Toba Nguvila
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana akiteta jambo na Mnec Kagera Ndugu Wilbroad Mutabuzi 
Mh. Toba Alnason Nguvila
Ugaguzi wa shamba ukiwa unaendelea  Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana  akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ,Mzee Adala , Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila,Mbunge wa jimbo la Nkenge Frolent Kyombo wakiwa wamepanda kwenye mtambo maalum unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo
Mzee Adala akifulahia jambo wakati ukaguzi wa shamba unaendelea.
Muendelezo wa matukio ya picha wakati
Mbegu za Mahindi kutoka shamba la mbegu la Global Agency Farm Limited



Taswira mbalimbala ziara ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana kutembelea shamba la Global Agency Farm
....
Next Post Previous Post
Bukobawadau