Bukobawadau

KUTANA NA BENNIE MUSHUMBUZI MKALI WA MERCEDES BENZ

Tupo na Mzee Bennie Muberwa Mushumbusi 'Mhaya' mkazi wa Maeneo ya Kibeta Mjini Bukuba. Mtaalam ,Mpenzi wa Magari ya kifahari aina ya Mercedes Benz, akiongea na Bukobawadau Media tulipofika Nyumbani kwake Kibeta kumtembea. 
 TAZAMA VIDEO HAPA CHINI

 

Mzee Bennie anazijua Benz kwa matoleo na Sifa zake ni mtumiaji wa magari haya toka miaka ya 80. Ndo huyu Bennie Mushumbusi wa Mabenz ambaye kitaaluma ni Mwandishi Mwandamizi wa Viwanja vya ndege. . #Benz #bukobawadauMatukio #Mhaya

Next Post Previous Post
Bukobawadau