Bukobawadau

HOJA BINAFSI

Katika huu mtiti wa madaktari na serikali, picha ninayoipata ina ukungu. Serikali ina ubavu mzuri tu wa kujitetea, na upande wa madaktari kuna wanaharakati wako vizuri kuwatetea wapate wanachokidai.
Sasa swali wagonjwa wanaoteseka wanatetewa na nani? Au ndo hailipi kuwatetea maana hakuna wafadhili wa hiyo agenda? Au kuwatetea wagonjwa hailipi kisiasa?
Next Post Previous Post
Bukobawadau