Bukobawadau

MSANII ALIEJUA THAMANI YAKE KITAMBO NA KUJIITA JINA LA MADINI ATAFANYA ONYESHO MJINI HAPA TAREHE 1-04-2012

Msanii Nyota wa  Muziki wa Kizazi kipya Diamond Platinum atafanya Onyesho lake mjini hapa ndani ya Linas Night Club  siku ya jumapili ya wiki hii tarehe 1-04-2011.
Onyesho hilo limedhaminiwa na Misifa Classic Wear,ambao pia ni wadau wakubwa wa bukobawadau blog.
Mdau hapa si kwamba Diamond ANALIA....?Hii ni katika kupagawisha mashabiki wake na wimbo wake wa Nitarejea.!!!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau