Bukobawadau

DIAMOND AWASILI MJINI BUKOBA MCHANA WA LEO KWA AJILI YA ONYESHO LITAKALO FANYIKA USIKU HUU NDANI YA LINAS

 Ndege ikiwasili uwanjani majira ya mchana leo
 Wadau wakimsubili Diamond

Erasi kulia na Mdau dullah
 Diamond ndani ya nyumba akitoa hi! kwa wana Bukobawadau
 What's Up BUKOBA!!!!
 Diamond akiwa na wapambe wake akiingia ndani ya gari tayari kwa safari ya kuelekea hotelini
 Diamond akisalimiana na jamali Kalumuna maeneo ya hoteli ya victoria

 HANDSOME BOY DIAMOND...........!!

 Kulia ni Erasimus almaarufu kama misifa na mmiliki wa maduka ya misifa classic wear ambaye amemleta Diamond bukoba  


Wadau wakiwa katika pozi na Diamond
Diamond akifatilia libeneke la Bukobawadau kama kawaida live.


Sound kali ikiandaliwa na wataalamu ndani ya LINAS CLUB
Next Post Previous Post
Bukobawadau