Bukobawadau

MAZISHI YA MTOTO WINSTON EUGIN KABENDERA YALIOFANYIKA JANA KIJIJINI KAMACHUMU

Katekista akiendelea na Ibada ya Mazishi
 Picha ya Marehemu Winston Eugin Kabendera.
Ndg na Jamaa wa karibu na Mdau Eugin Wakisogea kaburini.
Ndg Mahuyemba na Mdau Ras Bitto wakishiriki kubeba Jeneza.

Mdau Jamal (Jamco )akishindwa  kujizuia namna machungu yalivyo mbana.
Wadau  wakikamilisha shughuli ya mazishi
Babu na Bibi wa Marehemu wakiweka shada la Maua.

BUKOBAWADAU BLOG TUNATOA POLE SANA KWA WAZAZI,NDUGU NA WANAFAMILIA , SISI SOTE SAFARI YETU NI MOJA JAPO  MTOTO WINSTON AMETANGULIA MUNGU AILAZE MAHALA PEMA PEPONI ROHO YAKE!!!.
Next Post Previous Post
Bukobawadau