NI BONGE LA HARUSI YA MR & MRS ALLY KICHWABUTA, MJINI BUKOBA 0CT 11,2014
Kufatia ufanisi wa Shughuli hii,Bukobawadau tunatoa pongezi kubwa kwa Maharusi hawa kama wanavyo onekana wakiwa katika nyuso za furaha ni
Bwana na Bibi Ally Kichwabuta ikiwa ni siku maalumu ya kuwapongeza kwa uamuzi wao wakufunga ndoa.
Jumamosi Oct 11, 2014 Ikiwa ni siku maalumu ya harusi ya wawili hawa,siku ambayo imenogeshwa na mambo mengi yasiyo ya kawaida yalijitokeza ikiwemo hili la maharusi kupendeza!!
Wakati tukiendelea kupata picha za Maharusi kwanza niwape namba yangu mpya ambayo ni 0715 505043 hii utampata Blogger Mc Baraka ,tunapokea ushauri na maongezi kuhusu kazi sio flani..?
Bonge la picha jamani! mmependeza Sana
Kwa utulivu wa huyu Kijana,mwanetu hatomletea mauzauza ,ni kama wanajisemea wazazi wa Bi Harusi pichani.
Hallow hallooo! Yaani Mwanula Ebyehetari
Tusinge penda kuwachosha na maelezo kwa siku ya leo tutafanya 50 /50 illa unachotakiwa kujia Mdau msomaji “Hii ni bonge la harusi,mpaka tufika matukio ya jumapili inaweza kuvunja rekodi
Hakika mmependeza na make up za Bibie Mgeni zimetulia
'Mwaaaaaaa...maisha mema ya ndoa..I believe mtakuwa na doa njema' ni maneno ya Mama Sadath Murungi Badru Kichwabuta pichani
Naye Dada Mtu achezi mbali ni Bi Sharifa Kichwabuta
Matukio katika picha za kumbukumbu.
Ndugu hawa La' Familia katika hilina lile wakati mchakato wa picha za kumbukumbu ukiendelea.
Maharusi na Wapambe wao wakishow love na Ndugu wa familia.
Bwana Kuraish katika picha ya kumbukumbumbu na Dada yake mpendwa.
Habari ndo hiyo! mtoto wa Kitanga tena?!.... pozi za kumahaba ndiko zilikozaliwa.....!
Matukio ya picha za kumbukumbu yakendelea.
Pichani ni Wadogo zake na Bi harusi wetu Bi Mgeni Issa .
Ndugu na jamaa kutoka Tanga muda mchache kabla ya kuelekea fukweni kwa ajili ya picha za kumbukumbu
Mwanzo wamatukio ya Ufukweni ulikuwa hivi.
Maharusi wana sura zilizojaa tabasam kuashiria wamependana hasa.
Hakika matukio ni mengi na picha ni kali mno....
Tupo Sambamba na Dada Johari Kichwabuta pichani kushoto
Faizal Chichi Salum kama kiongozi wa msafara akisaidiana na Ndg Optaty Henry Katibu.
Mr& Mrs Issa ambao ndio wazazi wa Bi harusi Bibie Mgeni Ally
Maharusi wetu na Wapambe wao wakiwa fukweni kwa ajili ya picha za kumbukumbu
Endless love..... Macho na matendo yanapo ongea...!
Ndugu na Jamaamarafiki wa familia ya Bwana Ally Kichwabuta kutoka Nchini Uganda .
Msafara mkubwa wa Magari ukiendelea .
Sehemu ya Msafara , tunaweza kusema tuweka picha mwanzo mwisho tatizo ni kwamba tutachukua siku nne au tatono kukufikishia tukio lote
Bi Ziada Songoro pichani ndani ya Ukumbi wa harusi
Katikati ni Ndugu Badru Kichwabuta, kaka Mkubwa wa Bwana harusi wetu akifuatilia namna maharusi walivyopendeza wakati wanaingia ukumbini
Naaam...Bwana Ally akionyesha ishara ya kuwapungia watu mikono
Mambo ya Red Capet kwa kiasi kikubwa yamehusika...
Katulebi eKI ....! watu viti havikaliki
Maharusi Ukumbini kwa burudani ya Qasweeda, kama utakavyoweza kujionea katika Video yetu.
Katika Pozi Bi harusi wetu Mgeni Issa wa Abdulrahman
Mwanamama na Matukio kwa ajili ya kumbukumbu
Mzee Kabyemela na Mzee Galiatano sambamba kabisa na tukio hili
Macho yote kuleee....Wanakotokea Maharusi wetu.
Taswira mbalimbali Ukumbini wakati Sherehe za Maulid ya kuwapongeza Mr &Mrs Ally zikiendelea.
Ndivyo anavyo ingia ukumbini Mzee Haji Adam Sued Kagasheki
Haji Adam anapokelewa na Sheikh Haruna Kichwabuta, ambaye ndiye sheikh wa Mkoa wa Kagera.
Moja ya Wanafunzi wadogo wa Madarasa wakifanya vizuri sana
Pale mambo yanaponoga ndivyo anavyo onekana Sheikh Habib Kichwabuta.
Mzee Galiatano kwa furaha ya aina yake akimpongeza Mama Johari kichwabuta .
Mama Sadath,Mrungi Badru akifurahi na Mzee Galiatano anaye onekana kuimarika kiafya hii leo.
Sheikh Haruna akifurahia Qasweeda
Bwana Harusi na mpambe wake ambaye ni Ndugu wa kufuatana.
Katika pozi na mikao safi kwa ajili ya picha kali za Bukobawadau Blog.
Ndugu Siraji Kichwabuta akiongea machache kama mwenyekiti wa familia ya Kichwabuta.
Mzee wa Dallas, Texas akimtunza Kaka yake Siraji pale alipotumia fursa hii kuwashukuru Waalikwa kwa kutokuichoka familia ,kufuatia mwitikio wao katika harusi nne mfululizo ikiwa ni pamoja na ile ya miezi sita iliyopita ya Ndg.Aziz Kichwabuta maarufu kama Mzee wa Dallas, Texas
Harusi iliyotangulia ilimhusisha Ndugu Kuraish Kichwabuta pichani Kushoto
Sehemu ya Waalikwa Ukumbini Mdau Sulum na Mzee wa Matunda.
Mwenyekiti wa familia hii Ndugu Siraji Kichwabuta akiendelea kutoa Intro kwa Wageni waalikwa.
Mwenyekiti kwamba baada ya harusi ya Kuraish ilifuatia harusi ya Bwana Mkulam Kichwabuta pichani kulia ambapo Bukobawadau blog walihusika kwa kiasi kikubwa kukufikia yote yaliyojiri.
Kwa Umakini na Uwezo mkubwa katika kuongea Ndugu Siraji Kichwabuta ambaye ndiye Mwenyekiti wa familia ya Kichwabuta anamwinua tena Mzee Wetu Haji Abbakari Rajab Galiatano.
Ndivyo mambo yalivyokuwa Mchana wa Jumamosi Oct 11,2014.
Sheikh Habibu Kichwabutu akitoa Zawadi ya Maneno kwa Bwana Ally Kichwabuta kuhusiana na kusimamia Ndoa yake kama ilivyoamrishwa na Allah.
Anaendelea kwa kumkabidhi Zawadi ya Quran kabla ya kufuatiwa na zawadi za kimira.
Bwana Harusi na Best Man wanapongezwa na Kaka yao Mkuwa ndugu Badru Kichwabuta
Mara baada ya neno la Mzazi Sheikh Habib anapongezana na Badru.
Mc Muongozaji pale penye shughuli nzito ni Mzee 'Kapara'S alum Mawingo aka Organizer.
Kwa mbali Wazee wakisikilizia.
Nasaha za Sheikh Haruna Kichwabuta kwa Bwana Ally,tukio hili litapatikana You tube.
Sheikh anamalizia nasaha zake zenye kugusa pande mbili kwa kuwapongeza Maharusi wote wawili
Baba Mzazi akimpongeza Binti yake.
Sheikh Idrisa anatoa pongezi.
Kaka Mkubwa 'Baba Sado' Badru Kichwabuta akitoa pongezi na kumkaribisha Rasmi Bi harusi
Kaka Mkubwa wa Bi harusi akitoa pongezi kwa Mdogo wake.
Haji Abbakar Sued akiwapongeza maharusi hawa.
La Familia kulia ni Mama wa Aisha, Bi Sauda.
Kwa furaha Mama Johari wakati wa Utambulisho
KatikaUkodak Maharusi na Uncle Salum Kama rafiki mkubwa wa familia,nje ya kuwa Mc.
Mrs Khakimu Kichwabuta
Hongera sana Bi harusi umependeza.
Sheikh Idrisa pichani kushoto, Mzee Pius Ngeze katikati na Mzee Galiatano.
Upande wa pili,Ndgu Nassor Master fix akiendelea kuwajibika
Sehemu ya Waalikwa wakiingia Ukumbini.
Ndugu Optaty Henry ambaye ndiye Mwenyekiti , kamati ya Usafiri kuanzia Dar-Bukoba
Sehemu ya Waalikwa Wakipata huduma ya Chakula
Kwa furaha anaonekana Ndg Mkhusini Haruna Kichwabuta.
Bi harusi kapendeza ,Vazi na michoro ya Hina kweli Tanga inahusu na upande wa make-up 'BILIGE MNO'
Wanawaka,Wanatabasamu 'Mbamehisa' Bi Harusi na Matron wake kulia Mrs Aziz Kichwabuta ,
Kumwenya na kumyehisa..
Bi Sharifa Kabaka katikati, kulia ni Mama Miraji Kichwabuta.
Bi Sharifa Karwani na Mama Adam (mama farida)pichani
Bi harusi kapakwa Hina namna inavyotakiwa.
Haji Murishi akiteta jambo na Haji Sadick , pembeni anaonekana Mzee Nurag Haji Nuru.
Ndugu Bashiru Badae Kabyemela na Ndugu Sadru Ally
Matukio zaidi ya Picha tembelea kurasa zetu za Facebook
Ilikuwa tabu kidogo ...!katika utaratibu wakati wanainuka familia nzima ya Kichwabuta.
Ndugu wa familia katika picha ya pamoja
Mwisho Shughuli hii inafika Mwisho na kuwakabidhi Wanawake waendelea na taratibu za Zawadi
Mikoba yote ankabidhiwa Mwananana Jemedali Mrs Badru , Bi Jeanifer Murungi Kichwabuta
Anasalimia Mama Miraji
Hawa waliosimama ni Mama zetu chimbuko la familia ya Kichwabuka.
Maharusi wakifurahia jambo kwa sura zilizojaa tabasamu
Mrs Ally Kichwabuta na Mrs Aziz Kichwabuta
Katika picha ya pamoja na Mama Mzazi, Mama Johari kabla ya kutoa neno lake la Shukrani
Mama Mzazi wa Bwana Ally, anatoa neno la Shukrani kubwa sana kwa wote walioshiriki.
Hongera zao maharusi hawa,mpaka siku ya Jumapili ndo mwisho wa tukio la Ally Kichwabuta.
Bukobawadau tunawashukuru familia hii kwa kutambua Uwepo wetu na kutushirikisha kama hivi. Tunawashukru sana
Team nzima ya BUKOBAWADAU BLOG inapenda kuwapongeza maharusi hawa na kwatakia kila la kheri katika maisha yao ya ndoa.
Shukrani sana Ndugu Aziz Kichwabuta , Sambamba na Mama yetu Mama Stella.
Mzee Philbart Nyerere kamati ya mapokezi . tunatambuwa uwepo wako
Pongezi na kwa kamati ya maandalizi na Wasimamizi wa shughuli make watu wamekula ,wamekunywa na kufurahia Dufu, Qaswida na mengineyo watu wamecheza sijui sasa Jumapili ya Oct 11,2014 katika Party mambo yatakuwaje..? kwani tetesi zilivyo Mmmh...'!!
PITIA SEHEMU YA KWANZA YA VIDEO HAPA CHINI.
Pitia Video hapa Chini, Pichani anaonekana Sheikh Habibu Kichwabutu akitoa Zawadi ya Maneno kwa Bwana Ally Kichwabuta kuhusiana na kusimamia Ndoa yake kama ilivyoamrishwa na Allah, pia anamkabidhi Zawadi ya Quran kabla ya kufuatia na zawadi za kimira. Endelea kuwa nasi kwa matukio zaidi na Maelezo Kamili, Tayari picha zaidi ya 200 Zipo katika Ukurasa wetu wa facebook,Muhimu kulike na kushare page husika ,Gonga hapa >> Bukobawadau Entertainment Media
Jumamosi Oct 11, 2014 Ikiwa ni siku maalumu ya harusi ya wawili hawa,siku ambayo imenogeshwa na mambo mengi yasiyo ya kawaida yalijitokeza ikiwemo hili la maharusi kupendeza!!
Wakati tukiendelea kupata picha za Maharusi kwanza niwape namba yangu mpya ambayo ni 0715 505043 hii utampata Blogger Mc Baraka ,tunapokea ushauri na maongezi kuhusu kazi sio flani..?
Bonge la picha jamani! mmependeza Sana
Kwa utulivu wa huyu Kijana,mwanetu hatomletea mauzauza ,ni kama wanajisemea wazazi wa Bi Harusi pichani.
Hallow hallooo! Yaani Mwanula Ebyehetari
Tusinge penda kuwachosha na maelezo kwa siku ya leo tutafanya 50 /50 illa unachotakiwa kujia Mdau msomaji “Hii ni bonge la harusi,mpaka tufika matukio ya jumapili inaweza kuvunja rekodi
Hakika mmependeza na make up za Bibie Mgeni zimetulia
'Mwaaaaaaa...maisha mema ya ndoa..I believe mtakuwa na doa njema' ni maneno ya Mama Sadath Murungi Badru Kichwabuta pichani
Naye Dada Mtu achezi mbali ni Bi Sharifa Kichwabuta
Matukio katika picha za kumbukumbu.
Ndugu hawa La' Familia katika hilina lile wakati mchakato wa picha za kumbukumbu ukiendelea.
Maharusi na Wapambe wao wakishow love na Ndugu wa familia.
Bwana Kuraish katika picha ya kumbukumbumbu na Dada yake mpendwa.
Habari ndo hiyo! mtoto wa Kitanga tena?!.... pozi za kumahaba ndiko zilikozaliwa.....!
Matukio ya picha za kumbukumbu yakendelea.
Pichani ni Wadogo zake na Bi harusi wetu Bi Mgeni Issa .
Ndugu na jamaa kutoka Tanga muda mchache kabla ya kuelekea fukweni kwa ajili ya picha za kumbukumbu
Mwanzo wamatukio ya Ufukweni ulikuwa hivi.
Maharusi wana sura zilizojaa tabasam kuashiria wamependana hasa.
Hakika matukio ni mengi na picha ni kali mno....
Tupo Sambamba na Dada Johari Kichwabuta pichani kushoto
Faizal Chichi Salum kama kiongozi wa msafara akisaidiana na Ndg Optaty Henry Katibu.
Mr& Mrs Issa ambao ndio wazazi wa Bi harusi Bibie Mgeni Ally
Maharusi wetu na Wapambe wao wakiwa fukweni kwa ajili ya picha za kumbukumbu
Endless love..... Macho na matendo yanapo ongea...!
Ndugu na Jamaamarafiki wa familia ya Bwana Ally Kichwabuta kutoka Nchini Uganda .
Msafara mkubwa wa Magari ukiendelea .
Sehemu ya Msafara , tunaweza kusema tuweka picha mwanzo mwisho tatizo ni kwamba tutachukua siku nne au tatono kukufikishia tukio lote
Bi Ziada Songoro pichani ndani ya Ukumbi wa harusi
Katikati ni Ndugu Badru Kichwabuta, kaka Mkubwa wa Bwana harusi wetu akifuatilia namna maharusi walivyopendeza wakati wanaingia ukumbini
Naaam...Bwana Ally akionyesha ishara ya kuwapungia watu mikono
Mambo ya Red Capet kwa kiasi kikubwa yamehusika...
Katulebi eKI ....! watu viti havikaliki
Maharusi Ukumbini kwa burudani ya Qasweeda, kama utakavyoweza kujionea katika Video yetu.
Katika Pozi Bi harusi wetu Mgeni Issa wa Abdulrahman
Mwanamama na Matukio kwa ajili ya kumbukumbu
Mzee Kabyemela na Mzee Galiatano sambamba kabisa na tukio hili
Macho yote kuleee....Wanakotokea Maharusi wetu.
Taswira mbalimbali Ukumbini wakati Sherehe za Maulid ya kuwapongeza Mr &Mrs Ally zikiendelea.
Ndivyo anavyo ingia ukumbini Mzee Haji Adam Sued Kagasheki
Haji Adam anapokelewa na Sheikh Haruna Kichwabuta, ambaye ndiye sheikh wa Mkoa wa Kagera.
Moja ya Wanafunzi wadogo wa Madarasa wakifanya vizuri sana
Pale mambo yanaponoga ndivyo anavyo onekana Sheikh Habib Kichwabuta.
Mzee Galiatano kwa furaha ya aina yake akimpongeza Mama Johari kichwabuta .
Mama Sadath,Mrungi Badru akifurahi na Mzee Galiatano anaye onekana kuimarika kiafya hii leo.
Sheikh Haruna akifurahia Qasweeda
Bwana Harusi na mpambe wake ambaye ni Ndugu wa kufuatana.
Katika pozi na mikao safi kwa ajili ya picha kali za Bukobawadau Blog.
Ndugu Siraji Kichwabuta akiongea machache kama mwenyekiti wa familia ya Kichwabuta.
Mzee wa Dallas, Texas akimtunza Kaka yake Siraji pale alipotumia fursa hii kuwashukuru Waalikwa kwa kutokuichoka familia ,kufuatia mwitikio wao katika harusi nne mfululizo ikiwa ni pamoja na ile ya miezi sita iliyopita ya Ndg.Aziz Kichwabuta maarufu kama Mzee wa Dallas, Texas
Harusi iliyotangulia ilimhusisha Ndugu Kuraish Kichwabuta pichani Kushoto
Sehemu ya Waalikwa Ukumbini Mdau Sulum na Mzee wa Matunda.
Mwenyekiti wa familia hii Ndugu Siraji Kichwabuta akiendelea kutoa Intro kwa Wageni waalikwa.
Mwenyekiti kwamba baada ya harusi ya Kuraish ilifuatia harusi ya Bwana Mkulam Kichwabuta pichani kulia ambapo Bukobawadau blog walihusika kwa kiasi kikubwa kukufikia yote yaliyojiri.
Kwa Umakini na Uwezo mkubwa katika kuongea Ndugu Siraji Kichwabuta ambaye ndiye Mwenyekiti wa familia ya Kichwabuta anamwinua tena Mzee Wetu Haji Abbakari Rajab Galiatano.
Ndivyo mambo yalivyokuwa Mchana wa Jumamosi Oct 11,2014.
Sheikh Habibu Kichwabutu akitoa Zawadi ya Maneno kwa Bwana Ally Kichwabuta kuhusiana na kusimamia Ndoa yake kama ilivyoamrishwa na Allah.
Anaendelea kwa kumkabidhi Zawadi ya Quran kabla ya kufuatiwa na zawadi za kimira.
Bwana Harusi na Best Man wanapongezwa na Kaka yao Mkuwa ndugu Badru Kichwabuta
Mara baada ya neno la Mzazi Sheikh Habib anapongezana na Badru.
Mc Muongozaji pale penye shughuli nzito ni Mzee 'Kapara'S alum Mawingo aka Organizer.
Kwa mbali Wazee wakisikilizia.
Nasaha za Sheikh Haruna Kichwabuta kwa Bwana Ally,tukio hili litapatikana You tube.
Sheikh anamalizia nasaha zake zenye kugusa pande mbili kwa kuwapongeza Maharusi wote wawili
Baba Mzazi akimpongeza Binti yake.
Sheikh Idrisa anatoa pongezi.
Kaka Mkubwa 'Baba Sado' Badru Kichwabuta akitoa pongezi na kumkaribisha Rasmi Bi harusi
Kaka Mkubwa wa Bi harusi akitoa pongezi kwa Mdogo wake.
Haji Abbakar Sued akiwapongeza maharusi hawa.
La Familia kulia ni Mama wa Aisha, Bi Sauda.
Kwa furaha Mama Johari wakati wa Utambulisho
KatikaUkodak Maharusi na Uncle Salum Kama rafiki mkubwa wa familia,nje ya kuwa Mc.
Mrs Khakimu Kichwabuta
Hongera sana Bi harusi umependeza.
Sheikh Idrisa pichani kushoto, Mzee Pius Ngeze katikati na Mzee Galiatano.
Upande wa pili,Ndgu Nassor Master fix akiendelea kuwajibika
Sehemu ya Waalikwa wakiingia Ukumbini.
Ndugu Optaty Henry ambaye ndiye Mwenyekiti , kamati ya Usafiri kuanzia Dar-Bukoba
Sehemu ya Waalikwa Wakipata huduma ya Chakula
Kwa furaha anaonekana Ndg Mkhusini Haruna Kichwabuta.
Bi harusi kapendeza ,Vazi na michoro ya Hina kweli Tanga inahusu na upande wa make-up 'BILIGE MNO'
Wanawaka,Wanatabasamu 'Mbamehisa' Bi Harusi na Matron wake kulia Mrs Aziz Kichwabuta ,
Kumwenya na kumyehisa..
Bi Sharifa Kabaka katikati, kulia ni Mama Miraji Kichwabuta.
Bi Sharifa Karwani na Mama Adam (mama farida)pichani
Bi harusi kapakwa Hina namna inavyotakiwa.
Haji Murishi akiteta jambo na Haji Sadick , pembeni anaonekana Mzee Nurag Haji Nuru.
Ndugu Bashiru Badae Kabyemela na Ndugu Sadru Ally
Matukio zaidi ya Picha tembelea kurasa zetu za Facebook
Ilikuwa tabu kidogo ...!katika utaratibu wakati wanainuka familia nzima ya Kichwabuta.
Ndugu wa familia katika picha ya pamoja
Mwisho Shughuli hii inafika Mwisho na kuwakabidhi Wanawake waendelea na taratibu za Zawadi
Mikoba yote ankabidhiwa Mwananana Jemedali Mrs Badru , Bi Jeanifer Murungi Kichwabuta
Anasalimia Mama Miraji
Hawa waliosimama ni Mama zetu chimbuko la familia ya Kichwabuka.
Maharusi wakifurahia jambo kwa sura zilizojaa tabasamu
Mrs Ally Kichwabuta na Mrs Aziz Kichwabuta
Katika picha ya pamoja na Mama Mzazi, Mama Johari kabla ya kutoa neno lake la Shukrani
Mama Mzazi wa Bwana Ally, anatoa neno la Shukrani kubwa sana kwa wote walioshiriki.
Hongera zao maharusi hawa,mpaka siku ya Jumapili ndo mwisho wa tukio la Ally Kichwabuta.
Bukobawadau tunawashukuru familia hii kwa kutambua Uwepo wetu na kutushirikisha kama hivi. Tunawashukru sana
Team nzima ya BUKOBAWADAU BLOG inapenda kuwapongeza maharusi hawa na kwatakia kila la kheri katika maisha yao ya ndoa.
Shukrani sana Ndugu Aziz Kichwabuta , Sambamba na Mama yetu Mama Stella.
Mzee Philbart Nyerere kamati ya mapokezi . tunatambuwa uwepo wako
Pongezi na kwa kamati ya maandalizi na Wasimamizi wa shughuli make watu wamekula ,wamekunywa na kufurahia Dufu, Qaswida na mengineyo watu wamecheza sijui sasa Jumapili ya Oct 11,2014 katika Party mambo yatakuwaje..? kwani tetesi zilivyo Mmmh...'!!
PITIA SEHEMU YA KWANZA YA VIDEO HAPA CHINI.
Pitia Video hapa Chini, Pichani anaonekana Sheikh Habibu Kichwabutu akitoa Zawadi ya Maneno kwa Bwana Ally Kichwabuta kuhusiana na kusimamia Ndoa yake kama ilivyoamrishwa na Allah, pia anamkabidhi Zawadi ya Quran kabla ya kufuatia na zawadi za kimira. Endelea kuwa nasi kwa matukio zaidi na Maelezo Kamili, Tayari picha zaidi ya 200 Zipo katika Ukurasa wetu wa facebook,Muhimu kulike na kushare page husika ,Gonga hapa >> Bukobawadau Entertainment Media