Bukobawadau

NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA NCHI ZA UKANDA WA BAHARI YA HINDI WAJADILI MENEJIMENTI YA MAAFA

 Washiriki kutoka nchi ishirini wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Bahari ya Hindi (IORA), wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Regina Kikuli mara baada ya kufungua rasmi warsha ya siku mbili ya Menejimenti ya Maafa  leo Jijini Dar es salaam iliyoratibiwa  na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Idara ya uratibu Shughuli za maafa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Regina Kikuli (wa pili kulia) akisoma hotuba ya ufunguzi wa Warsha ya Maafa kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Bahari ya Hindi (IORA), leo Jijini Dar es Salaam.kulia kwake ni Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig. Jen. Mbazi Msuya na (wapili kushoto) Mkurugenzi wa Seketarieti IORA, Firdaus Dahlan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya Washiriki kutoka nchi ishirini wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Bahari ya Hindi (IORA), wakifuatilia warsha ya Menejimenti ya Maafa inayaendelea jijini Dar es salaam kwa kuratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Idara ya uratibu Shughuli za maafa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Baadhi ya Washiriki kutoka nchi ishirini wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Bahari ya Hindi (IORA), wakifuatilia warsha ya siku mbili  ya Menejimenti ya Maafa inayaendelea jijini Dar es salaam kwa kuratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Idara ya uratibu Shughuli za maafa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Regina Kikuli akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua rasmi Warsha ya Maafa kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Bahari ya Hindi (IORA), leo Jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Next Post Previous Post
Bukobawadau