SHUGHULI YA MAZISHI YA SIR GEORGE KAHAMA JIJINI DAR ES SALAAM JANA

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

Mjane wa Marehemu Sir George Kahma, Mama Janeth Kahama akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni leo Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni leo Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba akiweka udongo katika kaburi

Marais Wastaafu na wake zao pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa katika makaburi ya Kinondoni leo Jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa CCM Ndg.Abdulrahman Kinana akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.


Sehemu ya ndugu wa familia Marehemu Sir George Kahama wakiwa mazishini katika makaburi ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam

Sehemu ya ndugu wa familia Marehemu Sir George Kahama wakiwa katika makaburi ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam

Sehemu ya ndugu, marafiki na jamaa wa familia ya Marehemu Sir George Kahama wakiwa katika makaburi ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi na wake zake Mama Sitti Mwinyi na Mama Khadija Mwinyi wakiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Sir Georeg Kahama

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua kaburini.

Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba na mkewe mama Evelyne Warioba wakiweka shada la maua kaburini

Mawaziri Nape Nnauye ya Mwigulu Nchemba wakiweka shada la maua kaburini

Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua katika kaburi

Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Mohamed Chande Othman akiweka shada ya maua kaburini

Waziri wa Mambo ya Nje Mstafu Mhe. Bernad Membe akiweka shada la maua kaburini

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Mstaafu Rashid Othman akiweka shada la maua kaburini

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akiweka shada la maua kaburini


Mhe. Andrew Chenge na mkewe wakiweka shada la maua kaburini

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mohamed Mpinga akiweka shada la maua kaburini

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa mazishini katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Picha zote na Emmanuele Massaka wa Globu ya Jamii.