Bukobawadau

IBADA TAKATIFU YA KUMSHUKURU MUNGU NA KUMALIZA MATANGA YA KAKA YETU JULIUS MCHUNGUZI

 Padri akibariki kaburi la mpendwa wetu marehemu Julius Mchunguzi tunamuombea kwa  Mungu aendelee kumpa pumziko jema la milele.
Wanafamilia ya Marehemu Mzee Kibirango  wa Kishanda Muleba wakati wakiendelea kushiriki Ibada eneo la kaburi  walipoungana  jamaa na marafiki katika Ibada takatifu  ya kumshukuru ya kumshukuru Mungu na kuwakumbuka wazazi na ndugu waliotangulia mbele ya haki na kumaliza Matanga,' Msiba wa kaka yao Mpendwa Mchunguzi.
 Paroko wa Kanisa Katoliki la Ganyamkanda Kishanda Parokia ya Rukindo akinyunyuzia maji ya baraka kwenye makaburi ya wapendwa wetu.
 Ndugu wa familia wakiendelea kushiriki Ibada hiyo.
 Sehemu ya Majirani na marafiki wa familia wakiendelea kushiriki Ibada takatifu ya kuwaombea wapendwa wetu pamoja na kumaliza Matanga Mwaka mmoja kifo cha Marehemu Julius Mchunguzi.
 Ndugu Alban Wenfrebe miongoni mwa marafiki wa familia walioweza kushiriki Ibada hiyo

 Sehemu ya wanakwaya wakiendelea kuimba nyimba na mapambio ya kuabudu.
 Wanafamilia wakiendelea na Ibada
 Wanafamilia wakiendelea na Ibada
Muendelezo wa matukio ya picha Ibada takatifu  ya kumshukuru na kumaliza Matanga,' Msiba wa kaka yao Mpendwa Mchunguzi.
 Muendelezo wa matukio ya picha Ibada takatifu  ya kumshukuru na kumaliza Matanga,' Msiba wa kaka yao Mpendwa Mchunguzi.
 Baba Paroko akiendelea kuongoza Ibada.
 Pichani kushoto ni Bwana Bashiru Katela
Eng.Datus Rwihula akitoa neno kwa niaba ya familia na kwa niaba yake mwenyewe,kama utakavyoweza kumsikia kupitia iliyopo mwisho kabisa wa Ukuraha huu.
 Ndugu wa familia katika hali ya Usiku
 Wanafamilia wakiendelea na utaratibu wa kutoa sadaka
 Utaratibu wa kutoa Sadaka ukiendelea
 Bi Revna skitoa Sadaka yake
 Utaratibu wa kutoa Sadaka ukiendelea
 Taswira mbalimbali katika picha wakati Ibada Ikiendelea
 Kaka Mkubwa wa familia katika picha na Mogo wake Eng.Datus Rwihula
Muendelezo wa matukio ya picha.
 Marafiki wa familia wakitoa mono wa heri na upendo kwa Eng.Datus Rwihula
 Endelea kuwa nasi kwa mtiriko wa matukio ya picha mara baada ya Ibada kukamilika
Ni muda sasa kwa watu wote kupata huduma safi ya Chakula kilichoandaliwa.
 Baadhi ya wanafamilia wakiendelea kupata msosi 
Huduma ya Chakula ikiendelea kwa watu wote
 Ndugu wa familia wakiendelea kupata msosi safi ulio andaliwa kwa watu wote.
Mwalimu Lambart Mkwe wa familia hii akipata msosi
Katika hili na lile Eng Datus pamoja na Wazee  marafiki wa familia wakibadilishana mawazo.

TAZAMA SEHEMU YA VIDEO HAPA CHINI

Mwisho tunatoa pole kwa familia na tunamuombea marehemu Julius Mchunguzi  Mungu aendelee kumpa pumziko jema la milele.
Next Post Previous Post
Bukobawadau