Bukobawadau

BENKI YA CRDB YAFUTURISHA WATEJA WAKE WA MJINI BUKOBA .

 Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Sheikh Haruna Kichwabuta akitoa neno la shukrani kwa uongozi wa benki ya CRDB wa kufanikisha Iftar ya juzi katikaViwanja vya Jaffar katika ya Mji wa Bukoba. 
#CRDBBank #Iftar #Bukoba
 Benki ya CRDB imeandaa Futari kwa ajili ya wateja wake wa Mjini Bukoba ikihudhuriwa pia na viongozi wa kanda na wafanyakazi wa benki hiyo na kupongwezwa na Profesa Faustin Kamuzora Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera
 Waalikwa wakiendelea kupata futari
Meneja wa benki ya CRDB tawi la Bukoba Carlo Sendo akifurahia iftar
 Sheikh Kakwekwe sheikh wa Wilaya ya Bukoba akipata iftar safi iliyoandaliwa na Benki ya Crdb
Taswirambalimba wakati huduma safi ya futari ikiendelea
Pichani kutoka kushoto ni Mr Zuri, Mwalimu Bube 'Leoleo' na Meneja wa Crdb Benki Tawi la Bukoba Carlo Sendo
Muendelezo wa matukio ya picha
 Kutoka kushoto ni Mr Parma, Mr Abemulo na Bwana Hamza Itembwe
 Picha mbalimbali kwa ajili ya kumbukumbu


Mlatibu wa Iftari kwa upande wa Wadau bwana Al Amin abdul akisalimia na Mgeni Rasmi Profesa Faustin Kamuzora Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera






Wafanyakazi na Viongozi wa CRDB Bank kanda ya ziwa katika picha ya pamoja 


Next Post Previous Post
Bukobawadau