Bukobawadau

VILIO NA SIMANZI MAZISHI YA GOSBERT STANSLAUS MUTAGAYWA

Mazishi ya Kaka yetu,Mpendwa wetu Gosbert Stanslaus Mutagaywa yamefanyika Nyumbani kwao kijijni Muhutwe Wilayani Muleba na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa waombolezaji,Gosbert alifariki juma lililopita kwa mshtuko wa moyo akiwa nyumbani kwake
Muonekano wa Jeneza lenye mwili wa mpendwa wetu Gosbert Stanslaus Mutagaywa.

Simanzi
 

Dada Georgia akisaini kwenye kitabu cha maombolezo

 

Padre akiongoza Ibada ya mazishi ya Mpendwa Wetu Gosbert Stanslaus Mutagaywa.
Wanafamilia wakiendelea kushiriki Ibada ya Mazishiya mpendwa wao Marehemu Gosbert Stanslaus Mutagaywa.








..













....





Dada Georgia akiweka shada la maua katika kaburi la Kaka yake mpendwa marehemu Gosbert Mutagaywa









Muendelezo wa matukio ya picha wakati mazishi yakiendelea



Shukrani mara baada ya mazishi.

Wanafamilia katika picha ya pamoja.

Picha mbalimbali kwa ajili ya kumbukumbu


 

INAENDELEA KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA...

 


 

 

 

 


 

Next Post Previous Post
Bukobawadau