Bukobawadau

UMATI WASHIRIKI MAZISHI YA TOMAIDES (TOM) MWELA NYUMBANI KWAO MULEBA

Mapema kabla ya Ibada ya Mazishi ya mpendwa wetu   Tomaides Mwela kufanyika,Salaam za rambirambi zikiendelea kutoka katika makundi mbalimbali ya kijamii,wanaukoo na marafiki wa karibu wa familia

Ndugu wa familia ya mpendwa wetu Tomaides wakitoa historia kidogo ya mpendwa wetu,mbele ya Camera yetu jambo
Mama Merry Rwabizi Shemeji wa Mpendwa wetu Tomaides Mwela.
Kaka Mkubwa wa Marehemu Tomaides Mwela,Ndugu Mushobozi pichani akitolea jambo ufafanuzi
Ndugu Mulokozi wa pili pichani kutoka kushoto pichani akiendelea kushiriki mazishi ya kaka yake mpendwa Tomaides Mwela
Sehemu ya marafiki wa karibu  wa familia  ya Marehemu Tomaides Mwela
Michael Basota,katibu wa UWAKA Parokia ya Kinyerezi Jimbo katoliki Dar es Salaam akitoa salaam za rambirambi

Mr &Mrs Daud Kibogoyo pichani

Mlangila Ben Kataruga akitoa mkono wa pole kwa mama Mjane wa Marehemu Tomaides Mwela







Endelea kuwa nasi kwa matukio zaidi ya picha na maelezo








Mlangila Optaty Henry na Mlangila Ben Kataruga pichani


Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya Tomaides Mwela










Utambulisho kwa wana kinyerezi

Mzee Mushoboji Kaka wa Marehemu Tomaides akiwajibika










Mama mzazi wa Marehemu Tomaides Mwela akiweka udongo kwenye kaburi




Watoto wa Marehemu Tomaides wakiweka shada la maua

Wawakilishi wa Kinyerezi Family wakiweka shada la maua, pichani  yupo Michael Masota na Mlangila Ben Kataruga

Muendelezo wa matukio ya picha





ENDELEA KUWA NASI KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA NA MAELEZO

Aneth Kadigi Mrs Daudi Kibogoyo

Kaka Alex Mtiganzi akiwafariji wafiwa...

ENDELEA KUWA NASI KWA MATUKIO ZAIDI YA PICHA NA MAELEZO

Next Post Previous Post
Bukobawadau