MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE 2020 SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANI JOSIAH YAFANA SANA
Katika picha ya pamoja Wahitimu wa Kidato cha Nne 2020 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Josiah.
Wahitimu wa Kidato cha Nne 2020 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Josiah wakielekea ukumbini
Nasra Hamza mmoja wa wahitimu wa Kidato cha nne 2020 Shule ya Sekondari ya Wasichana Josiah
Nasra Hamza katika picha ya pamoja na Viongozi waandamizi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Josiah.
Kijana Kelvin Mpilla akisalimiana na Mhe. Stephen Byabato Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini na Naibu Waziri wa Nishati
INAENDELEAAAAA.......