Katika picha ya pamoja Wahitimu wa Kidato cha Nne 2020 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Josiah.
Wahitimu wa Kidato cha Nne 2020 Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Josiah wakielekea ukumbini Muendelezo wa matukio ya picha kutoka Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Wasichana Josiah.

Nasra Hamza mmoja wa wahitimu wa Kidato cha nne 2020 Shule ya Sekondari ya Wasichana Josiah
Nasra Hamza katika picha ya pamoja na Viongozi waandamizi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Josiah.
Kijana Kelvin Mpilla akisalimiana na Mhe. Stephen Byabato Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini na Naibu Waziri wa Nishati
INAENDELEAAAAA.......
0 comment:
Post a Comment