MH.WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA:MGENI RASMI BARAZA LA MAULID KAGERA LEO
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwahutubia baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu kwenye Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera leo .
Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia kwenye Baraza la Maulidi Kitaifa, lililofanyika Kitaifa katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera
Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi Bin Ally akizungumza na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu kwenye Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021Umati wa Waumini wakimsikiliza Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir amesisitiza haja ya waumini wa madhehebu mbalimbali za dini hapa nchini kushikamana zaidi.
Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki la Bukoba,Askofu Methodius Kilaini na amejumuhika na waumini wa dini ya Kiislamu kwenye Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021Burudani ikiendelea katika Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021Sheikh Abdul Rafiu akifurahi nyimbo za kumtukuza Mtume Muhammad katika Baraza la Maulidi Kitaifa, lililofanyika Kitaifa katika viwanja vya Kaitaba, Mjini Bukoba, mkoani Kagera leoBwana Hamza Itembwe,Mwalimu Amini na Kaka Athman miongoni mwa wanakamati ya Miundombinu Maulidi ya kuadhimisha Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) kitaifa yaliofanyika katika viwanja vya Kaitaba Mjini Bukoba leo.
Pichani kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wanawake wa Kiislamu ya Bakwata, Hajaat Shamimu Khan akifatilia kinachojiri katika Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021Mwenyekiti wa ccm Mkoa Kagera Mama Buhiye wakati wa Utambulisho
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan imeonesha kwa vitendo kuongoza Taifa na kufikisha maendeleo kwa Watanzania wote bila kujali tofauti za kidini na ukabila.
Muendelezo wa matukio ya picha Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021Hajjath Mwajabu Galiatano na Mama Byabato pichani
Picha katika Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021Muendelezo wa matukio ya picha
Ndugu Ashraf Kyobya pichani
Taswira mbalimbali katika Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021 Alhaj Suleiman Kova (mjumbe wa bodi ya wadhamini) Bakwata Taifa.
Bi Sophia Hamad pichani
Picha mbalimbali katika Baraza la Maulidi lililfanyika katika viwanja vya Kaitaba, Bukoba, mkoani Kagera. Oktoba 19, 2021