Bukobawadau

Mhe. Rais Samia akiagana na Rais wa Zambia Mhe. Hichilema baada ya kukamilisha ziara yake hapa nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku moja Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Agosti, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku moja Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Agosti, 2022.

 
 

Next Post Previous Post
Bukobawadau